9 Kwa maana, kwa habari ya Yehova, macho+ yake yanaenda huku na huku duniani+ kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo+ wao ni mkamilifu kumwelekea yeye. Umetenda kwa upumbavu+ kwa habari hii, kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na vita juu yako.”+
10 Kwa maana ni nani ameidharau siku ya mambo madogo?+ Nao watafurahi+ na kuona timazi mkononi mwa Zerubabeli. Haya saba ndiyo macho ya Yehova.+ Yanaenda huku na huku duniani kote.”+