Ayubu 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana macho yake yako juu ya njia za mwanadamu,+Naye huziona hatua zake zote. Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Zaburi 66:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela. Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+ Yeremia 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+ Yeremia 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova. Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.
7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela.
17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+
24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+