Zaburi 139:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni wapi ninapoweza kwenda mbali na roho yako,+Na ni wapi ninapoweza kukimbilia mbali na uso wako?+ Isaya 66:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
66 Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+