2 Kisha Daudi mfalme akasimama kwa miguu yake na kusema:
“Nisikilizeni, ndugu zangu na watu wangu. Nilitaka sana moyoni mwangu+ kujenga nyumba ya kupumzika kwa ajili ya sanduku la agano la Yehova na kama kiti cha miguu+ cha Mungu wetu, nami nikawa nimefanya matayarisho ya kujenga.+