66Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+
24 Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, akiwa, kama Huyu alivyo, Bwana wa mbingu na dunia,+ hakai katika mahekalu yaliyofanywa kwa mikono,+