27 “Lakini, je, kweli Mungu atakaa duniani?+ Tazama! Mbingu,+ ndiyo, mbingu za mbingu,+ haziwezi kukutosha;+ jinsi gani basi, nyumba hii+ ambayo nimeijenga!
66Yehova amesema hivi: “Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ na dunia ni kiti cha miguu yangu.+ Iko wapi, basi, nyumba ambayo ninyi mnaweza kunijengea,+ na pako wapi, basi, mahali pa kupumzika kwa ajili yangu?”+