Zaburi 113:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova amekuwa juu ya mataifa yote;+Utukufu wake uko juu ya mbingu.+ Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Yeremia 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova. Matendo 7:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu+ yangu. Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova. Au mahali pangu pa kupumzika pako wapi?+
13 Na walisifu jina la Yehova,+Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.
49 ‘Mbingu ni kiti changu cha ufalme,+ nayo dunia ni kiti cha miguu+ yangu. Mtanijengea nyumba ya aina gani? Asema Yehova. Au mahali pangu pa kupumzika pako wapi?+