Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?”

  • Zaburi 90:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+

      Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+

  • Zaburi 139:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ni wapi ninapoweza kwenda mbali na roho yako,+

      Na ni wapi ninapoweza kukimbilia mbali na uso wako?+

  • Methali 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+

  • Amosi 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Wakichimba chini kuingia katika Kaburi,* toka humo mkono wangu mwenyewe utawachukua;+ nao wakienda juu mbinguni, toka huko nitawashusha chini.+

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki