Mwanzo 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?” Zaburi 90:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+ Zaburi 139:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni wapi ninapoweza kwenda mbali na roho yako,+Na ni wapi ninapoweza kukimbilia mbali na uso wako?+ Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+ Amosi 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wakichimba chini kuingia katika Kaburi,* toka humo mkono wangu mwenyewe utawachukua;+ nao wakienda juu mbinguni, toka huko nitawashusha chini.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
13 Ndipo akaanza kuliita jina la Yehova, aliyekuwa akisema naye: “Wewe ni Mungu mwenye kuona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, kweli hapa nimemtazama yeye anayeniona?”
8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+
2 Wakichimba chini kuingia katika Kaburi,* toka humo mkono wangu mwenyewe utawachukua;+ nao wakienda juu mbinguni, toka huko nitawashusha chini.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+