Mambo ya Walawi 26:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa. Zaburi 50:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+ Yeremia 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+
39 Na wale watakaobaki kati yenu, wataoza+ kabisa kwa sababu ya kosa lao katika nchi za adui zenu. Naam, kwa sababu ya makosa ya baba zao,+ pamoja nao wataoza kabisa.
21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+
17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+