4 Au je, wewe unadharau utajiri wa fadhili+ zake na uvumilivu wenye subira+ na ustahimilivu,+ kwa sababu hujui kwamba sifa ya fadhili za Mungu inajaribu kukuongoza wewe kwenye toba?+
9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+