Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yehova atawatawanya ninyi katikati ya watu,+ nanyi mtabaki hesabu chache+ katikati ya mataifa ambayo Yehova atayafukuzia mbali.

  • Kumbukumbu la Torati 28:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi.

  • Ezekieli 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na walioponyoka kati yenu hakika watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka,+ kwa kuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao wenye kufanya uasherati ambao umegeuka na kuniacha+ na macho yao yanayozifuata sanamu zao za mavi katika uasherati;+ na nyuso zao hakika zitachukizwa na mambo mabaya ambayo wamefanya katika machukizo yao yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki