30“Na itatukia kwamba wakati ambapo maneno yote haya yatakuja juu yako, baraka+ na laana,+ ambazo nimeweka mbele yako, nawe umeyarudisha moyoni+ mwako kati ya mataifa yote ambako Yehova Mungu wako amekutawanya,+
16 Na kati yao nitaacha watu wachache waponyoke upanga,+ njaa na tauni, ili wayasimulie machukizo+ yao yote katikati ya mataifa ambamo wataingia ndani yake;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”