22 Kwa maana hata kama watu wako, Ee Israeli, wangekuwa kama chembe za mchanga wa bahari,+ ni mabaki wachache kati yao ndio watakaorudi.+ Maangamizi+ yaliyoamuliwa yatakuwa yakifurika katikati kwa uadilifu,+
8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+
27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+