Isaya 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana hata kama watu wako, Ee Israeli, wangekuwa kama chembe za mchanga wa bahari,+ ni mabaki wachache kati yao ndio watakaorudi.+ Maangamizi+ yaliyoamuliwa yatakuwa yakifurika katikati kwa uadilifu,+ Waroma 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.
22 Kwa maana hata kama watu wako, Ee Israeli, wangekuwa kama chembe za mchanga wa bahari,+ ni mabaki wachache kati yao ndio watakaorudi.+ Maangamizi+ yaliyoamuliwa yatakuwa yakifurika katikati kwa uadilifu,+
5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.