Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nawe usiogope, Ee mtumishi wangu Yakobo,” asema Yehova, “wala usiingiwe na hofu, Ee Israeli.+ Kwa maana, tazama, ninakuokoa wewe kutoka mbali na uzao wako kutoka katika nchi yao ya utekwani.+ Na hakika Yakobo atarudi na kuwa huru kutokana na usumbufu naye atastarehe, wala hakutakuwa na mtu yeyote anayemtetemesha.”+

  • Yeremia 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao wale wanaookoka upanga, watarudi kutoka katika nchi ya Misri kwenda katika nchi ya Yuda, hesabu yao wakiwa ni wachache;+ na wale wote wa mabaki ya Yuda, wanaoingia katika nchi ya Misri kukaa humo wakiwa wageni, watajua hakika ni neno la nani linalotimia, lile linalotoka kwangu au lile linalotoka kwao.”’”+

  • Ezekieli 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini, tazama! jamii iliyoponyoka hakika itabaki ndani yake, wale wanaoletwa.+ Wana na mabinti, tazama! Wanawatokea ninyi, nanyi mtalazimika kuona njia yao na shughuli zao.+ Nanyi hakika mtafarijiwa juu ya msiba ambao nitakuwa nimeuleta juu ya Yerusalemu, naam, yote nitakayokuwa nimeleta juu yake.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki