Zaburi 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+ Isaya 55:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+