Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na hata hivyo pamoja na yote hayo, huku wakiendelea kukaa katika nchi ya adui zao, hakika sitawakataa+ wala kuwachukia+ ili kuwaangamiza, na kulivunja agano+ langu pamoja nao; kwa maana mimi ni Yehova Mungu wao.

  • Isaya 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na itatukia katika siku ile kwamba baragumu kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanyika katika nchi ya Misri+ hakika watakuja na kumwinamia+ Yehova kwenye mlima mtakatifu katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 44:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakutakuwa na yeyote mwenye kuponyoka wala mwenye kuokoka kwa mabaki wa Yuda wanaoingia ili kukaa humo wakiwa wageni, katika nchi ya Misri,+ wa kurudi katika nchi ya Yuda ambayo wanaitamani kwa nafsi yao ili warudi kukaa humo;+ kwa maana hawatarudi, ila tu watu fulani walioponyoka.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki