Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 122:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ambalo makabila wamepanda kuelekea humo,+

      Makabila ya Yah,+

      Kama kikumbusho kwa Israeli+

      Ili kulishukuru jina la Yehova.+

  • Isaya 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na vikundi vingi vya watu hakika vitaenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

  • Isaya 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova wa majeshi hakika atavifanyia vikundi vyote vya watu,+ katika mlima huu,+ karamu ya vyakula vinono vilivyotiwa mafuta,+ karamu ya divai iliyowekwa kwenye machicha, ya vyakula vinono vilivyotiwa mafuta vilivyojazwa urojorojo,+ ya divai+ iliyowekwa kwenye machicha, iliyochujwa.+

  • Isaya 52:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Amka, amka, vaa nguvu zako,+ Ee Sayuni! Vaa mavazi yako mazuri,+ Ee Yerusalemu, jiji takatifu!+ Kwa maana mtu asiyetahiriwa na mtu asiye safi hawataingia ndani yako tena.+

  • Yeremia 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki