Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+

      Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda-dhambi katika ile njia.+

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana wako wote+ watakuwa watu waliofundishwa na Yehova,+ na amani ya wana wako itakuwa nyingi.+

  • Mika 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na mataifa mengi hakika yatakwenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova na kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo;+ naye atatufundisha njia zake,+ nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

  • Yohana 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yesu naye akawajibu na kusema: “Yale ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.+

  • Matendo 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa hiyo mara moja nikatuma watu kwako, nawe ukafanya vema kuja hapa. Na kwa hiyo wakati huu sisi sote tupo mbele za Mungu kuyasikia mambo yote ambayo umeamriwa na Yehova kusema.”+

  • 1 Wathesalonike 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, kuhusu upendo wa kindugu,+ hamhitaji sisi tuwe tukiwaandikia ninyi, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu+ kupendana;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki