Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na vikundi vingi vya watu hakika vitaenda na kusema: “Njooni,+ twendeni juu kwenye mlima wa Yehova, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia zake, nasi tutatembea katika mapito yake.”+ Kwa maana sheria itatoka katika Sayuni, na neno la Yehova katika Yerusalemu.+

  • Yeremia 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kuna siku ambayo walinzi walio katika eneo lenye milima la Efraimu wataita, ‘Simameni, twende Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+

  • Zekaria 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova wa majeshi asema hivi, ‘Bado itakuwa kwamba vikundi vya watu na wakaaji wa majiji mengi watakuja;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki