Yeremia 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana siku itafika ambayo walinzi walio kwenye milima ya Efraimu watapaza sauti wakisema: ‘Inukeni, twendeni juu Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+
6 Kwa maana siku itafika ambayo walinzi walio kwenye milima ya Efraimu watapaza sauti wakisema: ‘Inukeni, twendeni juu Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+