Mhubiri 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+ Isaya 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+
19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+
55 Haya, ninyi nyote mlio na kiu!+ Njooni kwenye maji.+ Na wale wasio na pesa! Njooni, mnunue mle.+ Ndiyo, njooni, mnunue divai+ na maziwa+ bila pesa na bila bei.+