18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+
2 na, kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni tamaa kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa kitu+ ambayo ni ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+