Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Na itakuwa siku hiyo kwamba milima itatiririka divai tamu,+ na vilima vitatiririka maziwa, na sakafu za vijito vya Yuda zitatiririka maji. Na katika nyumba ya Yehova bubujiko litatoka,+ nalo litamwagilia maji bonde la mto la Mishita.+

  • 1 Wakorintho 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Niliwalisha ninyi maziwa, si chakula,+ kwa maana mlikuwa bado hamna nguvu za kutosha. Kwa kweli, hata sasa hamna nguvu za kutosha,+

  • 1 Petro 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na, kama watoto wachanga waliozaliwa hivi karibuni,+ kuzeni tamaa kwa ajili ya maziwa yasiyochanganywa kitu+ ambayo ni ya lile neno, ili kupitia hayo mkue kufikia wokovu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki