Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kuna mto ambao vijito vyake hulifanya jiji la Mungu lishangilie,+

      Maskani kuu takatifu zaidi ya Aliye Juu Zaidi.+

  • Ezekieli 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Naye akanirudisha hatua kwa hatua mpaka kwenye mlango wa ile Nyumba,+ na, tazama! kulikuwa na maji+ yaliyokuwa yakitoka chini ya kizingiti cha Nyumba hiyo upande wa mashariki,+ kwa maana upande wa mbele wa Nyumba ulikuwa mashariki. Nayo maji hayo yalikuwa yakishuka kutoka chini, kutoka upande wa kuume wa Nyumba hiyo, upande wa kusini wa madhabahu.

  • Ufunuo 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki