Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘kwa sababu kuna mambo mawili mabaya ambayo watu wangu wamefanya: Wameniacha mimi,+ niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,+ ili wajichimbie matangi ya maji, matangi yaliyovunjika, ambayo hayawezi kutunza maji.’

  • Zekaria 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Katika siku hiyo+ nyumba ya Daudi na wakaaji wa Yerusalemu watafunguliwa kisima+ kwa ajili ya dhambi+ na kwa ajili ya chukizo.+

  • Zekaria 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na itatukia siku hiyo kwamba maji yaliyo hai+ yatatoka katika Yerusalemu,+ nusu yake kuelekea upande wa bahari ya mashariki+ na nusu yake kuelekea upande wa bahari ya magharibi.+ Itakuwa hivi wakati wa kiangazi na wa majira ya baridi kali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki