Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akawaambia: “Nisikilizeni, enyi Walawi. Sasa jitakaseni+ na mwitakase nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zenu, na mwondoe kitu kichafu kutoka mahali patakatifu.+

  • Maombolezo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yerusalemu amefanya dhambi waziwazi.+ Ndiyo sababu amekuwa chukizo.+

      Wote waliokuwa wakimheshimu wamemtendea kwa dharau,+ kwa maana wameuona uchi wake.+

      Yeye pia anaugua+ na kugeuza mgongo wake.

  • Ezekieli 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Mwana wa binadamu, nyumba ya Israeli walikuwa wakikaa katika nchi yao, nao wakaendelea kuichafua kwa njia yao na kwa matendo yao.+ Njia yao imekuwa mbele zangu kama uchafu wa hedhi.+

  • Ezekieli 36:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “ ‘Nami nitawaokoa ninyi kutoka kwenye uchafu+ wenu wote na kuiita nafaka na kuifanya iwe tele, nami sitaweka juu yenu njaa yoyote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki