5 Naye akawaambia: “Nisikilizeni, enyi Walawi. Sasa jitakaseni+ na mwitakase nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zenu, na mwondoe kitu kichafu kutoka mahali patakatifu.+
17 “Mwana wa binadamu, nyumba ya Israeli walikuwa wakikaa katika nchi yao, nao wakaendelea kuichafua kwa njia yao na kwa matendo yao.+ Njia yao imekuwa mbele zangu kama uchafu wa hedhi.+