Zaburi 33:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ili kuikomboa nafsi yao na kifo,+Na kuwahifadhi hai wakati wa njaa.+ Ezekieli 34:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “ ‘ “Nami nitawainulia mmea ili kujifanyia jina,+ nao hawatakuwa tena wale walioondolewa na njaa katika nchi,+ nao hawatachukua fedheha tena kamwe kutoka kwa mataifa.+
29 “ ‘ “Nami nitawainulia mmea ili kujifanyia jina,+ nao hawatakuwa tena wale walioondolewa na njaa katika nchi,+ nao hawatachukua fedheha tena kamwe kutoka kwa mataifa.+