Zaburi 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hawataona aibu wakati wa msiba,+Na katika siku za njaa watashiba.+ Isaya 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+
16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+