Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+

      Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+

  • Zaburi 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+

      Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+

      Wala uzao wake ukitafuta mkate.+

  • Zaburi 111:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Amewapa chakula wale wanaomwogopa.+

      י [Yohdh]

      Mpaka wakati usio na kipimo, atalikumbuka agano lake.+

  • Luka 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Hata hivyo, utafuteni ufalme wake sikuzote, na mambo hayo mtaongezewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki