Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+ Zaburi 111:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Amewapa chakula wale wanaomwogopa.+ י [Yohdh]Mpaka wakati usio na kipimo, atalikumbuka agano lake.+ Luka 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, utafuteni ufalme wake sikuzote, na mambo hayo mtaongezewa.+
10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+
5 Amewapa chakula wale wanaomwogopa.+ י [Yohdh]Mpaka wakati usio na kipimo, atalikumbuka agano lake.+