Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Ikiwa utavuna mavuno ya shamba lako,+ nawe umesahau mganda shambani, hupaswi kurudi kuuchukua. Huo utakaa kwa ajili ya mkaaji mgeni, kwa ajili ya mvulana asiye na baba na kwa ajili ya mjane;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kila tendo la mkono wako.+

  • Zaburi 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nafsi yake itakaa katika wema,+

      Na uzao wake mwenyewe utaimiliki dunia.+

  • Zaburi 112:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Uzao wake utakuwa wenye nguvu duniani.+

      ד [Daʹleth]

      Nacho kizazi cha wanyoofu, kitabarikiwa.+

  • Zaburi 145:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya wote yanakutazama yakiwa na tumaini,+

      Nawe unawapa chakula chao katika majira

      yake.+

  • Methali 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova hataiacha nafsi ya mwadilifu iteswe na njaa,+ lakini atasukumia mbali tamaa ya waovu.+

  • Methali 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki