Mambo ya Walawi 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’” Ruthu 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia mhakikishe mmemtolea baadhi yake katika vitita vya masuke, na kuyaacha nyuma apate kuyaokota,+ wala msimkemee.” Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+
22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
16 Pia mhakikishe mmemtolea baadhi yake katika vitita vya masuke, na kuyaacha nyuma apate kuyaokota,+ wala msimkemee.”
41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+