Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo.

  • Zaburi 104:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wote hao—wanaendelea kukungojea wewe+

      Ili uwape chakula chao wakati wa majira yake.+

  • Zaburi 136:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yule anayewapa chakula wote wenye mwili:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Mathayo 24:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara+ ambaye bwana wake alimweka rasmi juu ya watumishi wake wa nyumbani, awape chakula chao kwa wakati unaofaa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki