Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 136:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yule anayewapa chakula wote wenye mwili:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Zaburi 145:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya wote yanakutazama yakiwa na tumaini,+

      Nawe unawapa chakula chao katika majira

      yake.+

  • Zaburi 147:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Anawapa wanyama chakula chao,+

      Kunguru wachanga wanaoendelea kuita.+

  • Mathayo 6:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Waangalieni kwa makini ndege+ wa mbinguni, kwa sababu hawapandi mbegu au kuvuna au kukusanya ghalani; na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je, ninyi si bora kuliko wao?+

  • Mathayo 24:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 “Ni nani kwa kweli mtumwa mwaminifu na mwenye busara+ ambaye bwana wake alimweka rasmi juu ya watumishi wake wa nyumbani, awape chakula chao kwa wakati unaofaa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki