Zaburi 104:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wote hao—wanaendelea kukungojea wewe+Ili uwape chakula chao wakati wa majira yake.+ Zaburi 136:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yule anayewapa chakula wote wenye mwili:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Zaburi 145:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya wote yanakutazama yakiwa na tumaini,+Nawe unawapa chakula chao katika majirayake.+
25 Yule anayewapa chakula wote wenye mwili:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+