Ayubu 38:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote? Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula chao,+Kunguru wachanga wanaoendelea kuita.+ Mathayo 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+ Luka 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Angalieni kwamba kunguru+ hawapandi mbegu wala hawavuni, nao hawana bohari wala ghala, na bado Mungu huwalisha. Ninyi ni wenye thamani kama nini kuliko ndege?+
41 Ni nani anayemtayarishia kunguru chakula chake+Wakati watoto wake wanapomlilia Mungu wapate msaada,Wanapoendelea kutanga-tanga kwa sababu hakuna chakula chochote?
29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+
24 Angalieni kwamba kunguru+ hawapandi mbegu wala hawavuni, nao hawana bohari wala ghala, na bado Mungu huwalisha. Ninyi ni wenye thamani kama nini kuliko ndege?+