6 “Ikiwa kiota cha ndege kitakuwa mbele yako njiani, katika mti wowote au chini kikiwa na vifaranga+ au mayai, naye mama anakalia vifaranga au mayai, usimchukue mama pamoja na watoto.+
26 Waangalieni kwa makini ndege+ wa mbinguni, kwa sababu hawapandi mbegu au kuvuna au kukusanya ghalani; na bado Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je, ninyi si bora kuliko wao?+