Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye ng’ombe na kondoo, hamtamchinja yeye pamoja na mtoto wake katika siku moja.+

  • Zaburi 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+

      Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+

      Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+

  • Zaburi 145:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yehova ni mwema kwa wote,+

      Na rehema zake ziko juu ya kazi zake zote.+

  • Methali 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mwadilifu anatunza nafsi ya mnyama wake wa kufugwa,+ lakini rehema za waovu ni ukatili.+

  • Mathayo 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki