Mambo ya Walawi 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye ng’ombe na kondoo, hamtamchinja yeye pamoja na mtoto wake katika siku moja.+ Zaburi 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+ Zaburi 145:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema zake ziko juu ya kazi zake zote.+ Methali 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu anatunza nafsi ya mnyama wake wa kufugwa,+ lakini rehema za waovu ni ukatili.+ Mathayo 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+
6 Uadilifu wako ni kama milima ya Mungu;+Uamuzi wako wa hukumu ni kilindi kikubwa cha maji.+Wewe huokoa mwanadamu na mnyama, Ee Yehova.+
29 Je, shomoro wawili hawauzwi kwa sarafu ya thamani ndogo?+ Na bado hakuna hata mmoja wao atakayeanguka chini bila Baba yenu kujua.+