Kutoka 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Yaliyo bora zaidi kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wako utayaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wako.+ “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+ Kumbukumbu la Torati 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Ikiwa kiota cha ndege kitakuwa mbele yako njiani, katika mti wowote au chini kikiwa na vifaranga+ au mayai, naye mama anakalia vifaranga au mayai, usimchukue mama pamoja na watoto.+ Methali 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu anatunza nafsi ya mnyama wake wa kufugwa,+ lakini rehema za waovu ni ukatili.+
19 “Yaliyo bora zaidi kati ya matunda ya kwanza yaliyoiva ya udongo wako utayaleta katika nyumba ya Yehova Mungu wako.+ “Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.+
6 “Ikiwa kiota cha ndege kitakuwa mbele yako njiani, katika mti wowote au chini kikiwa na vifaranga+ au mayai, naye mama anakalia vifaranga au mayai, usimchukue mama pamoja na watoto.+