6 Ee nafsi yangu, usiingie katika kikundi chao cha rafiki.+ Ee mwelekezo wangu, usiungane na kutaniko lao,+ kwa sababu katika hasira yao waliwaua watu,+ na katika udhalimu wao walikata mishipa ya ng’ombe-dume.
7 Kwa hiyo Adoni-bezeki akasema: “Kumekuwa na wafalme 70 wakiokota chakula chini ya meza yangu, ambao vidole gumba vya mikono yao na vidole vikubwa vya miguu yao vimekatwa. Mungu amenilipa kulingana na matendo yangu.”+ Baadaye wakamleta Yerusalemu+ naye akafia huko.
2 Ndipo Nahashi Mwamoni akawaambia: “Nitafanya agano pamoja nanyi kwa sharti hili, kwa sharti la kung’oa+ kila jicho lenu la kuume, nami ni lazima niweke jambo hilo kuwa shutuma juu ya Israeli wote.”+