Waamuzi 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+ 2 Wafalme 25:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+
21 Basi Wafilisti wakamkamata, wakayang’oa macho+ yake na kumshusha mpaka Gaza,+ wakamfunga kwa pingu mbili za shaba;+ naye akawa mtu mwenye kusaga+ katika nyumba ya gereza.+
7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+