5 ‘naye atampeleka Sedekia mpaka Babiloni, naye ataendelea kuwa huko mpaka nitakapomkazia fikira,’+ asema Yehova; ‘ingawa ninyi mnaendelea kupigana na Wakaldayo, hamtafanikiwa’?”+
3 Nawe mwenyewe hutaponyoka kutoka mkononi mwake, kwa sababu bila shaka utakamatwa na kutiwa mkononi mwake.+ Na macho yako yatayaona macho ya mfalme wa Babiloni,+ na kinywa chake kitasema na kinywa chako, nawe utaenda Babiloni.’
16 “ ‘ “Kama ninavyoishi,”+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, “mahali pa mfalme aliyemweka kuwa mfalme yule aliyekidharau kiapo+ chake na ambaye alilivunja agano lake, atakufa pamoja naye katikati ya Babiloni.+