4 ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Tazama, ninazigeuza nyuma silaha za vita zilizo mkononi mwenu, mnazotumia kupigana na mfalme wa Babiloni,+ na Wakaldayo+ wanaowazingira ninyi nje ya ukuta, nami nitazikusanya katikati ya jiji hili.+
5 kuhusu wale wanaokuja kupiga vita juu ya Wakaldayo na kujaza mahali pengi kwa mizoga ya watu ambao nimewapiga na kuwaua katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu,+ na kwa sababu ya wote ambao kutokana na ubaya wao nimeficha uso wangu kutoka kwenye jiji hili,+
15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+