Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Hakuna hekima, wala utambuzi wowote, wala shauri lolote, katika kumpinga Yehova.+

  • Yeremia 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Tazama, ninazigeuza nyuma silaha za vita zilizo mkononi mwenu, mnazotumia kupigana na mfalme wa Babiloni,+ na Wakaldayo+ wanaowazingira ninyi nje ya ukuta, nami nitazikusanya katikati ya jiji hili.+

  • Yeremia 33:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kuhusu wale wanaokuja kupiga vita juu ya Wakaldayo na kujaza mahali pengi kwa mizoga ya watu ambao nimewapiga na kuwaua katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu,+ na kwa sababu ya wote ambao kutokana na ubaya wao nimeficha uso wangu kutoka kwenye jiji hili,+

  • Ezekieli 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini mwishowe alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri, ili wampe farasi+ na umati wa watu. Je, atakuwa na mafanikio? Je, ataponyoka, yeye anayefanya mambo haya, na ambaye amevunja agano? Na je, kwa kweli ataponyoka?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki