Yeremia 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Tazama, ninazigeuza dhidi yenu* silaha za vita zilizo mikononi mwenu, mnazotumia kupigana na mfalme wa Babiloni+ na Wakaldayo wanaowazingira nje ya ukuta. Nami nitawakusanya katikati ya jiji hili.
4 ‘Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Tazama, ninazigeuza dhidi yenu* silaha za vita zilizo mikononi mwenu, mnazotumia kupigana na mfalme wa Babiloni+ na Wakaldayo wanaowazingira nje ya ukuta. Nami nitawakusanya katikati ya jiji hili.