5 ‘naye atampeleka Sedekia mpaka Babiloni, naye ataendelea kuwa huko mpaka nitakapomkazia fikira,’+ asema Yehova; ‘ingawa ninyi mnaendelea kupigana na Wakaldayo, hamtafanikiwa’?”+
5 kuhusu wale wanaokuja kupiga vita juu ya Wakaldayo na kujaza mahali pengi kwa mizoga ya watu ambao nimewapiga na kuwaua katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu,+ na kwa sababu ya wote ambao kutokana na ubaya wao nimeficha uso wangu kutoka kwenye jiji hili,+