Hesabu 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ningewezaje kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani?+Nami ningewezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Matendo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+ Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
8 Ningewezaje kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani?+Nami ningewezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+
39 lakini ikiwa imetoka kwa Mungu,+ hamtaweza kuwaangamiza;)+ ama sivyo, huenda mkaonwa kuwa kwa kweli mnapigana na Mungu.”+
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+