Hesabu 22:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+ Hesabu 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka juu ya Balaamu naye akapiga makofi,+ naye Balaki akamwambia Balaamu: “Nilikuita ili uwalaani+ adui zangu, na, tazama! umewabariki kabisa mara hizi tatu.
12 Lakini Mungu akamwambia Balaamu: “Usiende pamoja nao. Usiwalaani watu hao,+ kwa maana wamebarikiwa.”+
10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka juu ya Balaamu naye akapiga makofi,+ naye Balaki akamwambia Balaamu: “Nilikuita ili uwalaani+ adui zangu, na, tazama! umewabariki kabisa mara hizi tatu.