Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 ‘Tazama! Watu wanaotoka Misri, nao wanaifunika dunia kufikia upeo wa macho.+ Sasa njoo, uwalaani kwa ajili yangu.+ Huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’”

  • Hesabu 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hapo Balaki akamwambia Balaamu: “Umenitendea nini? Nilikuchukua ili uwalaani adui zangu, na, tazama, umewabariki kwelikweli.”+

  • Kumbukumbu la Torati 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa sababu hawakuja kuwasaidia+ kwa mkate na maji njiani mlipokuwa mkitoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi juu yako Balaamu yule mwana wa Beori kutoka Pethori ya Mesopotamia, ili akulaani.+

  • Yoshua 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Balaki mwana wa Sipori,+ mfalme wa Moabu, akasimama na kupigana na Israeli.+ Basi akatuma ujumbe na kumwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+

  • Nehemia 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa maana hawakuwapokea wana wa Israeli kwa mkate+ na kwa maji,+ bali walimlipa Balaamu+ ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki