11 ‘Tazama! Watu wanaotoka Misri, nao wanaifunika dunia kufikia upeo wa macho.+ Sasa njoo, uwalaani kwa ajili yangu.+ Huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’”
4 kwa sababu hawakuja kuwasaidia+ kwa mkate na maji njiani mlipokuwa mkitoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi juu yako Balaamu yule mwana wa Beori kutoka Pethori ya Mesopotamia, ili akulaani.+
9 Kisha Balaki mwana wa Sipori,+ mfalme wa Moabu, akasimama na kupigana na Israeli.+ Basi akatuma ujumbe na kumwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+
2 kwa maana hawakuwapokea wana wa Israeli kwa mkate+ na kwa maji,+ bali walimlipa Balaamu+ ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+