Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi sasa njoo, tafadhali; uwalaani+ watu hawa kwa ajili yangu, kwa maana ni wenye nguvu kuliko mimi. Huenda nitaweza kuwapiga nami niwafukuze kutoka katika nchi; kwa maana najua vema kwamba yule unayembariki ni mtu aliyebarikiwa naye yule unayemlaani, amelaaniwa.”+

  • Yoshua 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha Balaki mwana wa Sipori,+ mfalme wa Moabu, akasimama na kupigana na Israeli.+ Basi akatuma ujumbe na kumwita Balaamu mwana wa Beori ili awalaani ninyi.+

  • Nehemia 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa maana hawakuwapokea wana wa Israeli kwa mkate+ na kwa maji,+ bali walimlipa Balaamu+ ili awalaani.+ Hata hivyo, Mungu wetu aliigeuza laana hiyo kuwa baraka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki