Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ningewezaje kuwalaani wale ambao Mungu hajawalaani?+

      Nami ningewezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+

  • Hesabu 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo hasira ya Balaki ikawaka juu ya Balaamu naye akapiga makofi,+ naye Balaki akamwambia Balaamu: “Nilikuita ili uwalaani+ adui zangu, na, tazama! umewabariki kabisa mara hizi tatu.

  • Kumbukumbu la Torati 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Yehova Mungu wako hakutaka kumsikiliza Balaamu;+ lakini Yehova Mungu wako kwa ajili yako aligeuza ile laana ikawa baraka,+ kwa sababu Yehova Mungu wako alikupenda.+

  • Zaburi 109:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wao na watangaze laana,+

      Lakini wewe utangaze baraka.+

      Wamesimama, lakini acha waone aibu,+

      Na mtumishi wako na ashangilie.+

  • Mika 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki