Hesabu 23:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao Mungu hajawalaani? Ninawezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+
8 Ninawezaje kuwalaani watu ambao Mungu hajawalaani? Ninawezaje kuwashutumu wale ambao Yehova hajawashutumu?+